help plz...

2my

JF-Expert Member
Jan 30, 2010
287
7
Habari zenu wapendwa....
Naimani humu nitapata msaada ....... mimi nilikuwa naumwa typhoid na amoeba was result from hospital nikapewa ciproflucenllen na secnidazole(siku mbili)na nyingine nilizitumia kwa siku kumi...kuanzia siku ya nane kwenye matumizi ya dawa nikapata maumivu makali sana ya tumbo tena Mara nyingi ilikuwa wakati wa usiku au baada ya Kula chochote...nilihisi ni reaction ya dawa ILA baada ya kumaliza dawa bado maumivu yaliendelea nikarudi hospital wakahisi ni alcers nikapimwa ILA ckuwa nayo..Dr.akaamua kunipa dawa nyingine aina ya Fluconmole za siku kumi nikatumia maumivu yamepungua ILA hayajaisha na dawa nimemaliza tangu trh 24 jan....nilimpigia Dr.aliyeniattend akanishauri kutumia flagill still maumivu nayapata....wapendwa kwa yeyote anayeweza kunishauri plz nauthamini sana ushauri Wako...
 
umejieleza vizuri sn sn na umeeleweka ngoja wadau waje hapa nami niko attention kujifunza kitu
 
Habari zenu wapendwa....
Naimani humu nitapata msaada ....... mimi nilikuwa naumwa typhoid na amoeba was result from hospital nikapewa ciproflucenllen na secnidazole(siku mbili)na nyingine nilizitumia kwa siku kumi...kuanzia siku ya nane kwenye matumizi ya dawa nikapata maumivu makali sana ya tumbo tena Mara nyingi ilikuwa wakati wa usiku au baada ya Kula chochote...nilihisi ni reaction ya dawa ILA baada ya kumaliza dawa bado maumivu yaliendelea nikarudi hospital wakahisi ni alcers nikapimwa ILA ckuwa nayo..Dr.akaamua kunipa dawa nyingine aina ya Fluconmole za siku kumi nikatumia maumivu yamepungua ILA hayajaisha na dawa nimemaliza tangu trh 24 jan....nilimpigia Dr.aliyeniattend akanishauri kutumia flagill still maumivu nayapata....wapendwa kwa yeyote anayeweza kunishauri plz nauthamini sana ushauri Wako...

Mkuu mahali sahihi pa kupata msaada wa uhakika 100% ni kwa tatizo lako ni hospitali.


Nakushauri uende mara moja hospitali yenye wataalamu wa uhakika na vifaa tiba vya uhakika. Kama upo Dar, naamini kwa uzoefu wangu hospitali zifuatazo unaweza pata huduma ya uhakika. Tumaini hosp.,Regency hosp., Agakhan hosp. na nyinginezo.

Jf si mahali salama tena pa msaada, baada ya kuvamiwa na wavuta bangi, walevi, na watu wengine wasio na busara.
 
Mkuu mahali sahihi pa kupata msaada wa uhakika 100% ni kwa tatizo lako ni hospitali.


Nakushauri uende mara moja hospitali yenye wataalamu wa uhakika na vifaa tiba vya uhakika. Kama upo Dar, naamini kwa uzoefu wangu hospitali zifuatazo unaweza pata huduma ya uhakika. Tumaini hosp.,Regency hosp., Agakhan hosp. na nyinginezo.

Jf si mahali salama tena pa msaada, baada ya kuvamiwa na wavuta bangi, walevi, na watu wengine wasio na busara.
mh......
 
Thanx Nchaby nitajitahid kufanya hivyo.....
 
Mimi49 say something mbona umeishia kuguna Tu?.....
 
ahsante tuwasubir hope they will come@Manselly
 
Mbona naona umeshakunywa dawa nyingi sana na karibia zote ni antibiotic, ushauri wangu baada kuwa umemaliza hizo dawa zote usinywe dawa nyingine tena hasa hizo antibiotic labda knywa dawa za kupungunguza maumivu, baada ya siku saba au kumi na nne rudi hospital ukafanye vipimo tena


Habari zenu wapendwa....
Naimani humu nitapata msaada ....... mimi nilikuwa naumwa typhoid na amoeba was result from hospital nikapewa ciproflucenllen na secnidazole(siku mbili)na nyingine nilizitumia kwa siku kumi...kuanzia siku ya nane kwenye matumizi ya dawa nikapata maumivu makali sana ya tumbo tena Mara nyingi ilikuwa wakati wa usiku au baada ya Kula chochote...nilihisi ni reaction ya dawa ILA baada ya kumaliza dawa bado maumivu yaliendelea nikarudi hospital wakahisi ni alcers nikapimwa ILA ckuwa nayo..Dr.akaamua kunipa dawa nyingine aina ya Fluconmole za siku kumi nikatumia maumivu yamepungua ILA hayajaisha na dawa nimemaliza tangu trh 24 jan....nilimpigia Dr.aliyeniattend akanishauri kutumia flagill still maumivu nayapata....wapendwa kwa yeyote anayeweza kunishauri plz nauthamini sana ushauri Wako...
 
masanzakona kwa ss nimeamua nisitumie daws nisikilizie baada ya muda nurud tena hospital....thanx
 
Last edited by a moderator:
Tatzo ni la kawaida wala usiwe na hof kwan zile dawa za mwanzo ndo zilisababisha maumivu ya tumbo na ni ya muda kwan izo dawa zilienda kuongeza secretion ya acid tumbon na ku disturb,na ulifanya vema kuacha izo ,bt with time maumivu yote yatapotea.reaction ya hizo dawa haikuwa nzur na kupelekea imbalance ya acid tumbon na kusababisha maumivu hasa wakat wa kula kwan kipind icho pia secretion ya acid huongezeka tumbon na kuzidisha maumivu,bt as long as dawa umeacha kutumia bas tatzo litaisha taratibu
 
Mkuu mahali sahihi pa kupata msaada wa uhakika 100% ni kwa tatizo lako ni hospitali.


Nakushauri uende mara moja hospitali yenye wataalamu wa uhakika na vifaa tiba vya uhakika. Kama upo Dar, naamini kwa uzoefu wangu hospitali zifuatazo unaweza pata huduma ya uhakika. Tumaini hosp.,Regency hosp., Agakhan hosp. na nyinginezo.

Jf si mahali salama tena pa msaada, baada ya kuvamiwa na wavuta bangi, walevi, na watu wengine wasio na busara.

Hizi ni dharau sasa.kuna ugonjwa nmepona kupitia jf dr.
 
amaizing hapo hv no comments kwa kweli...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom