pamoja na kuwa sina utaalam wa ku trick hiyo kitu, lakini swali lako bado lina utata...limekaa general sana!!ungefafanua vizuri mkuu...
utoe mwnyewe au wakutolee wao (non refundable)? na ni software/website gani inayotaka hivyo...!? mi najua moja ya paypal tu kuwa unapojiunga lazima ufanye verification ya credit card yako na wanakukata ila baadaye wanakurudishia hela yako baada ya ku verify..sasa unaposema "wanadai utoe hela" maana yake si wanataka utoe mwenyewe kutoka kwenye card yako kwahiyo si uweke tu hela benki then utoe kwa card yako?? trick ya nini tena..!!? labda bado sijakuelewa..sorry for that!!swali hapa ni kuapgred wanadai utoe hela humu kwenye iyo visa cad
correct answer.Nilivo kuelewa bwana ''same org'' ni kuwa unataka kufanya malipo online kwa kutumia visa card. Unachotakiwa kufanya nenda benki yako alafu waeleze watakusaidia.
swali hapa ni kuapgred wanadai utoe hela humu kwenye iyo visa cad
Nina software ya kijamii ninataka kuapgred hata kama sina visacard mwenye utaalamu wa hili anisaidie tafadhali.
Labda anamaanisha ovulation calculator software teh teh teeh!!!software ya kijamiii ndio nini tena maunzisha mada:?
huyu hataki kulipa, bali anataka aibe,. kuiba kwasababu anataka atoe details za kadi na pesa isitolewe kwenye account. lakini msingi wake ni yeye kupata hiyo software anayotaka kununua kwa free. mawazo yake ni kuwa anaweza kucheza na hiyo debit card yake , na kupata hiyo software bure.Nilivo kuelewa bwana ''same org'' ni kuwa unataka kufanya malipo online kwa kutumia visa card. Unachotakiwa kufanya nenda benki yako alafu waeleze watakusaidia.
duh , ila amesema software ya kijamii kwa maana ya social hakusema kujamii kwa maana ya ovulation na wenziwe...Labda anamaanisha ovulation calculator software teh teh teeh!!!