help on MBA specialization choice!

RealTz77

JF-Expert Member
May 18, 2009
738
40
ndugu wazalendo nimepata fund kwa ajili ya MBA uk, ila nitarudi fanya kazi tz, sasa naomba kwa wenye uelewa je nispecialize kwenye nini? marketing, finance au strategic planning au hrm? tafadhali pia sababu zake na ikiwa urahisi wa nondo etc! sina background ya business studies kabisa!
 
unafanya kazi sekta gani au kampuni gani, je ukimaliza unataka kurudi kwa current employers au kutafuta utaratibu mwingine...

je wewe umesoma nini mpaka hapa ulipo

urahisi wa ndondo - je unamaanisha ugumu wa masomo

chuo kipi unatazamia kwenda ie vyuo mbali mbali vina speciality mbalimbali
 
unafanya kazi sekta gani au kampuni gani, je ukimaliza unataka kurudi kwa current employers au kutafuta utaratibu mwingine...

je wewe umesoma nini mpaka hapa ulipo

urahisi wa ndondo - je unamaanisha ugumu wa masomo

chuo kipi unatazamia kwenda ie vyuo mbali mbali vina speciality mbalimbali

nilisoma uhandisi(engineering), chuo nilichopata ndio kina hizo specialization nilizotaja, nafanya katika sector ya madini, namanisha ugumu wa masomo yes,tushakaa mtaani mwaka wa 15 sasa kichwa kishakuwa na kutu learning tough things. Nikimaliza nataka nitafute utaratibu mwingine ambao utakuwa well paying with more brghter future of career dev and growth!
 
Acha woga usio na msingi.... wanoenda shule ya msingi wana miaka 80 watasemaje..!! from my intuition(nami sina biz background)
Kama unafikiria kujiajiri....Marketing is the best!!
Kama watakuwa manager na decision maker.... |Strategic planning is good!!
If you want to change a career to mahela... go to finance!!

NB: be flexible.. in today's world the pyramid of specialisation is upside down!!!:love:
 
nilisoma uhandisi(engineering), chuo nilichopata ndio kina hizo specialization nilizotaja, nafanya katika sector ya madini, namanisha ugumu wa masomo yes,tushakaa mtaani mwaka wa 15 sasa kichwa kishakuwa na kutu learning tough things. Nikimaliza nataka nitafute utaratibu mwingine ambao utakuwa well paying with more brghter future of career dev and growth!

formula ya mafanikio bongo ni hard work na connections
mba hrm - no kwa ajili unakuwa very limited

mba marketing - zipo telecom na kampuni ambazo ziko marketing intensive upatikanaji wa kazi sio mgumu sana, pia kusoma sio shule ngumu

mba strategic - hapa utaongeza sana general knowledge hasa katika maswala ya negotiation, na strategy mbali mbali amazo unaweza ukazitumia kwenye marketing na uongozi, pia sio somo gumu kusoma.

mba finance - kama unavyojua hali ya bongo ilivyo financial instution zinafunguliwa kibao na pia hauko limited kupata kazi zingine kama hr, marketing or management. masomo ni magumu compare na hizo kozi nyingine lakini kutokana na background yako ya eng utaweza ku-manage, na masomo magumu sio mengi sana quantitative-method ambalo linatumika kwenye casino economy financial industry ya bongo hamna haja pia unakuta somo kama hili kwa shule nyingine ni option kwa hiyo unaweza kuliacha. pia utagain more knowledge ambayo inapatikana darasani huwezi kuipata nje kuliko masomo mengine

ningekuwa mimi ningechagua finance kwanza or strategic chaguo la pili, lakini hii yote inategemea na future plans zako na connection zako. pili MBA nyingi term ya kwanza masomo yanakuwa sawa halafu baadae ndio mnakuwa tofauti kwa hiyo unaweza kusoma halafu baada ya term ya kwanza pale mnapoanza utofauti ukabadilisha.

note ukiondoka kwenye hiyo kampuni unayofanya usiache kazi omba likizo, ukirudi unarudi kazini halafu unatafuta kazi nyingine ukiwa kazini kwa hiyo unakuwa hauna pressure sana.

je ni universirty gani unaenda HW in scotland

if you think there is anything i can help ni PM na nitajitahidi kukujibu

I wish you all the best
 
formula ya mafanikio bongo ni hard work na connections
mba hrm - no kwa ajili unakuwa very limited

mba marketing - zipo telecom na kampuni ambazo ziko marketing intensive upatikanaji wa kazi sio mgumu sana, pia kusoma sio shule ngumu

mba strategic - hapa utaongeza sana general knowledge hasa katika maswala ya negotiation, na strategy mbali mbali amazo unaweza ukazitumia kwenye marketing na uongozi, pia sio somo gumu kusoma.

mba finance - kama unavyojua hali ya bongo ilivyo financial instution zinafunguliwa kibao na pia hauko limited kupata kazi zingine kama hr, marketing or management. masomo ni magumu compare na hizo kozi nyingine lakini kutokana na background yako ya eng utaweza ku-manage, na masomo magumu sio mengi sana quantitative-method ambalo linatumika kwenye casino economy financial industry ya bongo hamna haja pia unakuta somo kama hili kwa shule nyingine ni option kwa hiyo unaweza kuliacha. pia utagain more knowledge ambayo inapatikana darasani huwezi kuipata nje kuliko masomo mengine

ningekuwa mimi ningechagua finance kwanza or strategic chaguo la pili, lakini hii yote inategemea na future plans zako na connection zako. pili MBA nyingi term ya kwanza masomo yanakuwa sawa halafu baadae ndio mnakuwa tofauti kwa hiyo unaweza kusoma halafu baada ya term ya kwanza pale mnapoanza utofauti ukabadilisha.

note ukiondoka kwenye hiyo kampuni unayofanya usiache kazi omba likizo, ukirudi unarudi kazini halafu unatafuta kazi nyingine ukiwa kazini kwa hiyo unakuwa hauna pressure sana.

je ni universirty gani unaenda HW in scotland

if you think there is anything i can help ni PM na nitajitahidi kukujibu

I wish you all the best

asante semilong, umenipa mwangaza mkubwa sana, ujue mi mtu wa maporini, well ni Edinburgh Business School ndo nitajoin, najua is one of best MBA schools!
 
Back
Top Bottom