Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Dada hapa unatia aibu...kwanza kumbuka maandiko kama ww mkristo kwamba Mungu alimuumba Adam....na akaona vyema akamtaftia msaidizi....haya ww bidada kwel unajipinda kuandika thread huwez mfulia mumeo pich* kweeeel...
Dada jitume coz nyumba ndogo zinakunyemelea kama fisi aliyeona fupa...
wewe nawe, kuosha hiyo pichu yake tu huwezi, je kumkatikia kitandani utaweza kweli?
Wanawake wenye akili wanakuwa proud kuwafanyia waume zao hizo kazi...
swalaaaaaaa!!!!!
swala.. swalaaaaaa!!!!
aisee i hate this! himizeni watoto wenu waende shule..
Nilikuwa najaribu kulike kumbe haipo
Tena sana kuna watu wanatafuta hizo nafasi za kuwafanyia wapenzi wao hayo hawazipati afu ye analalamika.
Hujambo lakini
acha basi utani....
Niko poa sana besti... baeleze hawa badogo zako bana... raha ya kuwa na ndoa ni kumfanyie mumeo vitu ambavyo hawezi kufanyiwa na mtu baki...
Nimeenda nimetoa rambirambi tu nimerudi, tunasubiri taratibu za mazishi ndugu yangu
swalaaaaaaa!!!!!
swala.. swalaaaaaa!!!!
aisee i hate this!!!! himizeni watoto wenu waende shule!!!!, TANZANIA ingekuwa mbali sana kama tungeliwahimiza wanetu kwenda shule namna hii asubuhi asubuhi......!!!!
dini ipo tu kila siku tutaswali..!!
I am a newly-wed and I am already having problems with my husband, for the simple reason that I refuse to do things like washing his underwear, polishing his shoes and ironing his clothes. I believe he can do these tasks for himself since he is a grown man, but he insists that it is my duty as a wife to do them for him. He says that I am hardheaded and that I'm going against the biblical commandment ordering wives to submit to their husbands. Did I get married to become a slave? Please give me an amicable solution for this issue.
#Rachel
Ahsante kwa kutupa a credible source
duh Munkari sometimes unanifurahisha sana, very nice! au huyu mwenzenu Mzungu nini? hata wazungu hawafanyi hivyo wanatafuta mashine ya kufanya kazi hiyo! kwa huyu mashine itakayo msaidia Africa hamna zaidi ya nyumba ndogo!Kha we nawe uliolewa wa nini? Rudi kwenu!