Kwa hiyo
Hiyo ni message ya kawaida hasa kama ulifanya attempt ya ku-login mara nyingi ukawa unakosea password au username, so unaulizwa hivyo ili uweze ku-verify ur idenity. Mara nyingine huhitaji kuzitambua picha za friends wako na kuwatick majina yao au hukuhitaji kujibu security question ambayo uliiset mwanzo kabisa wakati unafungua akaunti yako.
Huo ujumbe wa ku-name device unakuwezesha wewe kujua ni device gani uli-login na kama kuna mtu yeyote alifanya attemp ya kulogin without ur knowledge basi inaku-alert coz hiyo kitu ina keep track ya devices ambavyo huwa unalogin navyo.
hilo si tatizo kubwa sana Slave Punguza munkari. Unatakiwa kuingiza hayo maneno yaliyo andikwa kimcharazo vizuri.
Tatizo lako limekuja baada ya facebook kukupa habari kuwa Device ____ logged in your account from____ '' '' na ukaclick kuwa huitambui account hiyo. Hapo utatakiwa kubadili password nakuweka ambayo hujawahi tumia kabisa.