KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,213
- 56,852
Nakaa pembeni tu niangalie memba mupya..😀
Nakaa pembeni tu niangalie memba mupya..😀
Sanaaa mkuu, napenda sana watoto!Hapo sawa unaonekana unapenda sana watoto
Naam! majotoHisopo!!!
Natafakari hili jina! unaweza kunisaidia?
Unaweza ukavurugwa hadi ukachizikaJf ya sasa huelimiki
Nashangaa anavyosema kuelimikaUnaweza ukavurugwa hadi ukachizika
Naam! majoto
Bila shaka mkuu,
Hisopo; ni mmea fulani kama mti wa mwanzi, ulitumika sana mashariki ya kati enzi hizo katika mambo ya kidini, hasa kusafisha na kutakasa watu na vitu kiimani.
Referred:
Hesopo ni mti :
1wafalme 4:33 "akanena habari za mti , tangu Mwerezi ulioko Lebanoni hata HISOPO umeao ukutani , pia akanena habari za wanyama , na za ndege, na za vitambaavyo na samaki"
Yohana 19:29 "Kulikuwako huko chombo kimejaa SIKI; basi wakatia SIFONGO iliyojaa SIKI juu ya ufito wa HISOPO wakampelekea kinywani"
HISOPO mmea uliotumika kusafisha na kutakasia.
•MAMBO YA WALAWI 14:4
"ndipo huyo kuhani ataagiza kwamba watwae kwa ajilia yake atakaye takaswa ndege wawili walio hai, ambao ni safi na mti wa mwerezi na sufu nyekundu na HISOPO"
Pia: WALAWI 14:49, 51, 52.
HESABU 19:6, 18.
•ZABURI 51:7
"Unisafishe kwa HISOPO nami nitakuwa safi , unioshe , nami nitakuwa mweupe kama theluji"
Naamini umepata mwanga (ideal) kidogo mkuu!
^^^Japo Mimi sio pastor wala religious man , just normal personal .
Akaoge maji ya bahariniKakosa
Nd nakuelekeza mwenyejiShukrani mkuu, naamini member wote ni muhimu kwangu.