Hellow

Hellow

Status
Not open for further replies.
Kwani Mwifwa umetoa maelekezo ya namna hii tena?

Asante kwa picha endelea kujumuika nasi maana tayari wewe ni mwenyeji.
 
....................Inakera sasa,mods mmelala ama vipi?kipindi najiunga humu early 2013 haikuwa rahisi kujiunga hovyo ila sasa mmerahisisha mno vigezo vya kujoin humu that's why ujinga huu umezidi.

Siku hizi hata mwendawazimu ana-post JF,hapo nyuma kwa siye wavivu wa kuandika hatukuthubutu kutuma post humu kama hatuna cha maana cha kuandika ila siku hizi imekuwa rahisi kila mtu anajiandikia na kutuma anachotaka.
 
Huyu anaonekana ni member since 2016 ss sielewi ni nin kimpata?
....................Inakera sasa,mods mmelala ama vipi?kipindi najiunga humu early 2013 haikuwa rahisi kujiunga hovyo ila sasa mmerahisisha mno vigezo vya kujoin humu that's why ujinga huu umezidi.

Siku hizi hata mwendawazimu ana-post JF,hapo nyuma kwa siye wavivu wa kuandika hatukuthubutu kutuma post humu kama hatuna cha maana cha kuandika ila siku hizi imekuwa rahisi kila mtu anajiandikia na kutuma anachotaka.
 
Halafu uwache kutuzingua matade wewe
Screenshot_20190918-224459.jpeg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom