Karibu mpaka ndani...jina lako limenichekesha sana KK hahahahahahaha labda utasaidia katika kutoa mafundisho mbali mbali katika lile jukwaa maarufu la MMU LOL! Kwenye hiyo fridge hapo pembeni kuna vinywaji vya aina mbali mbali ikiwemo togwa na juice ya ukwaju endelea kwa wakati wako. Karibu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.