wa 2017 huyoKaribu.sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
Sawa muzee...Habari wadau wa jamii forum , nafrahi kuungana pamoj nanyi.
Nafanya blogging, hope ntakutana na wapenzi wa hii fun kwa ajili ya kushauriana na kupeana support.
Link ya blog yangu ni happyrozo.com
October 17 2017 co 2020Umejiunga JF October 17, 2020
Leo hii ndio unaomba upokelewe?
Au mimi ndio sijaelewa?