Helloow

Helloow

Jeremiah fofo

Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
36
Reaction score
11
I'm jeremiah from tanzania mimi nina swali jaman kama kuna mtu anaweza kunisaidia anisaidi lakin kwa wale wote wenye udhoefu na mapenz...hivi dem akiwa bikra kila ki2 kwake anakuwa hajui alafu wewe una hamu hata yakushare romance anakataa au anakuzungusha inabidi mtu utumie njia zip kupata hata romance yake?
 
achana na bikra wasumbufu...chukiwa hawa used maana kwao mugegedana ni must
 
Wee bikra wanaraha sana lakin hao used noumer bhn haon ajabu kumpa malavidavi mtu baki na zikimpanda kma ww upo nae mbali ndo kabisa lakn bikra mst akutafute coz ww ndo mjanja wake den ndo wakwanza kuvunja kikombe
achana na bikra wasumbufu...chukiwa hawa used maana kwao mugegedana ni must
 
Eti eee inabidi niwe mtulivu kumbe basi ngoja nisimdisturb maana ataniona kama nahtj malavidavi tu kutoka kwake

ndio hivyo
atahisi unataka umkule
thn um dump coz ndio
silka ya wadada wengi
we nenda nae adoado tu!!!
 
Wee bikra wanaraha sana lakin hao used noumer bhn haon ajabu kumpa malavidavi mtu baki na zikimpanda kma ww upo nae mbali ndo kabisa lakn bikra mst akutafute coz ww ndo mjanja wake den ndo wakwanza kuvunja kikombe

imani yako tu
wakijanjaluka wabaya hao!
na usaliti ni tabia ya mtu
haijalishi ulimpata used au la!!!
 
Hata kama akinisaliti lakin lazima niwepo kwenye ubongo wake coz lazma atakumbuka tu usichana wake ulitolewa na nan ndo hapo sasa atakapo kufkria bt used thijui

imani yako tu
wakijanjaluka wabaya hao!
na usaliti ni tabia ya mtu
haijalishi ulimpata used au la!!!
 
Natamani umtunze zaidi na kumjengea uaminifu umsubirishe hadi ndoa if she the one. Kama kupenda ni lazima kufanya ngono basi machangudoa (me/ke) wangeongoza kuwa na upendo.

Something very important wengi wanakipuuza, Ukiamua unao uwezo wa kuuambia mwili na wawazo yako nini cha kufuata na kufikiri navyo vitatii. kama haikuwa hivyo basi tungekuwa wote matendo yetu yanafanana. kwa nini huyu aweze na huyu asiweze? where the difference lies?

Mkuu onesha subira na unaweza ukiamua. Isipofanikiwa haikuwa yako.
''No one can can make you inferior without your own consent'' Elenor R.
 
Subiria hivyo hivyo hii ndio bongoland na utakuja shangaa kitu kishatolewa zamanii
 
dah kweli mkuu
Natamani umtunze zaidi na kumjengea uaminifu umsubirishe hadi ndoa if she the one. Kama kupenda ni lazima kufanya ngono basi machangudoa (me/ke) wangeongoza kuwa na upendo.

Something very important wengi wanakipuuza, Ukiamua unao uwezo wa kuuambia mwili na wawazo yako nini cha kufuata na kufikiri navyo vitatii. kama haikuwa hivyo basi tungekuwa wote matendo yetu yanafanana. kwa nini huyu aweze na huyu asiweze? where the difference lies?

Mkuu onesha subira na unaweza ukiamua. Isipofanikiwa haikuwa yako.
''No one can can make you inferior without your own consent'' Elenor R.
 
Back
Top Bottom