Helloooooo!

Helloooooo!

Giles

New Member
Joined
Nov 5, 2012
Posts
3
Reaction score
1
Kwa vile serikali inataka kuwawekea kodi mpaka wale wenye biashara ndogondogo, basi inawabidi pia watoze kodi wezi, majambazi na vidokozi maana wanajipatia kipata kutokana na kazi zao. Labda hili linaweza kuongeza kipata serikalini (GDP).
 
Hahaha kweli aisay :biggrin1:
 
Kwa vile serikali inataka kuwawekea kodi mpaka wale wenye biashara ndogondogo, basi inawabidi pia watoze kodi wezi, majambazi na vidokozi maana wanajipatia kipata kutokana na kazi zao. Labda hili linaweza kuongeza kipata serikalini (GDP).
Hii inahusika vipi na jukwaa hili Giles?
 
Kha...! Umetokea wapi ndugu?
Ha! ha! ha! ... Katavi leo unamkana ndugu yako huyu! ... si na yeye anatokea Lyamba Lya Mfipa

Alafu hii ndio posti yake ya kwanza toka ajiunge JF ... hana hata salamu!!
 
Kwa vile serikali inataka kuwawekea kodi mpaka wale wenye biashara ndogondogo, basi inawabidi pia watoze kodi wezi, majambazi na vidokozi maana wanajipatia kipata kutokana na kazi zao. Labda hili linaweza kuongeza kipata serikalini (GDP).


Wewe kweli ni Junior,hapa si mahali pake!!!!!!
 
Kwa vile serikali inataka kuwawekea kodi mpaka wale wenye biashara ndogondogo, basi inawabidi pia watoze kodi wezi, majambazi na vidokozi maana wanajipatia kipata kutokana na kazi zao. Labda hili linaweza kuongeza kipata serikalini (GDP).

Kodi hotozwa kwa kazi halali ambazo jamii na serikali inazikubali. Hizo kazi ulizozitaji si kazi hali na hivyo haziwezi kutozwa kodi.
 
Na hii inahusikaje kwenye mahusiano mapenzi na urafiki?
 
Kwa vile serikali inataka kuwawekea kodi mpaka wale wenye biashara ndogondogo, basi inawabidi pia watoze kodi wezi, majambazi na vidokozi maana wanajipatia kipata kutokana na kazi zao. Labda hili linaweza kuongeza kipata serikalini (GDP).

Matatizo ya big government
 
Wa kuhensya, tataitu kalesa>
Kupanga kulugo.>
Peter Kayanza apanga kulugo!>
Hilo nalo neno.
 
Tatizo ni kutumia udongo wenye unyevu ukizani ni ugoro(tumbaku)
 
Back
Top Bottom