ududu mwingi Member Aug 29, 2023 38 61 Aug 30, 2023 #1 Kwanza nmekuwa nikiona na kuskia mengi mazuri ya humu ndani JF kupitia rafiki yangu nikashawishika, naombeni MNIPOKEE tushirikiane kwenye ushauri, fursa, urafiki, story za hapa na pale n.k
Kwanza nmekuwa nikiona na kuskia mengi mazuri ya humu ndani JF kupitia rafiki yangu nikashawishika, naombeni MNIPOKEE tushirikiane kwenye ushauri, fursa, urafiki, story za hapa na pale n.k
Scars JF-Expert Member Apr 8, 2017 44,448 105,441 Aug 30, 2023 #2 Karibu sana Ila tuna utaratibu wetu ambao tumeuweka hapa kwa ajili ya wageni. Kuna vitu viwili ambavyo tunakuamulia sisi wenyeji wako. Huruhusiwi kuchagua kwa hiari yako nali tunakuchagulia sisi 1. Usiwe CCM 2. Usiwe Yanga
Karibu sana Ila tuna utaratibu wetu ambao tumeuweka hapa kwa ajili ya wageni. Kuna vitu viwili ambavyo tunakuamulia sisi wenyeji wako. Huruhusiwi kuchagua kwa hiari yako nali tunakuchagulia sisi 1. Usiwe CCM 2. Usiwe Yanga
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,175 10,824 Aug 31, 2023 #3 Scars said: Karibu sana Ila tuna utaratibu wetu ambao tumeuweka hapa kwa ajili ya wageni. Kuna vitu viwili ambavyo tunakuamulia sisi wenyeji wako. Huruhusiwi kuchagua kwa hiari yako nali tunakuchagulia sisi 1. Usiwe CCM 2. Usiwe Yanga Click to expand... Achana na namba 2.
Scars said: Karibu sana Ila tuna utaratibu wetu ambao tumeuweka hapa kwa ajili ya wageni. Kuna vitu viwili ambavyo tunakuamulia sisi wenyeji wako. Huruhusiwi kuchagua kwa hiari yako nali tunakuchagulia sisi 1. Usiwe CCM 2. Usiwe Yanga Click to expand... Achana na namba 2.
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,175 10,824 Aug 31, 2023 #4 Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.