N Nafeti New Member Aug 3, 2009 1 0 Aug 3, 2009 #1 Wakubwa najitambulisha kama hivi nipo ndani ya JF, kuna lipi jema?
The Farmer JF-Expert Member Jan 7, 2009 1,658 557 Aug 3, 2009 #3 Nafeti said: Wakubwa najitambulisha kama hivi nipo ndani ya JF, kuna lipi jema? Click to expand... Karibu, ingia mpaka ndani. Jisikie uko nyumbani.
Nafeti said: Wakubwa najitambulisha kama hivi nipo ndani ya JF, kuna lipi jema? Click to expand... Karibu, ingia mpaka ndani. Jisikie uko nyumbani.
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,725 Aug 4, 2009 #5 Nafeti said: Wakubwa najitambulisha kama hivi nipo ndani ya JF, kuna lipi jema? Click to expand... Kimsingi unakaribishwa sana... Lakini unapouliza kunalipi jema, ina maana hujaona lolote, basi ninini kilichokuleta? Mi nilidhani umeyaona mema mengi ndo ukaamua kuja!!! te he te heee! Karibu bana, wewe ni chanzo muhimu cha hayo mema unayoyataka.
Nafeti said: Wakubwa najitambulisha kama hivi nipo ndani ya JF, kuna lipi jema? Click to expand... Kimsingi unakaribishwa sana... Lakini unapouliza kunalipi jema, ina maana hujaona lolote, basi ninini kilichokuleta? Mi nilidhani umeyaona mema mengi ndo ukaamua kuja!!! te he te heee! Karibu bana, wewe ni chanzo muhimu cha hayo mema unayoyataka.
Mvina JF-Expert Member Aug 2, 2009 998 34 Aug 8, 2009 #6 Atakuwa ameyaona mengi tu ndo maana ameingia hapa home of ...