Karibu hapa JF anyway jitambulishe unaitwa nani?Mie ni mwanachama mpya,naomba ukaribisho
Kwa majina naitwa Robert key,naishi taifa jirani Kenya,sehemu ya Taita taveta,na nitatafuta mchumba mtanashati mkristo,umbo si mnono Wala mwembamba kadri katikati ,rangi brown ,miaka Kati 23-34,..Karibu hapa JF anyway jitambulishe unaitwa nani?
Unaishi wapi na jinsia gani?
Nini kimekuleta JF?
Hello too
Mimi BONGE