Hello wapendwa

Moge

New Member
May 5, 2011
2
0
Mie n yank wa miaka 23 nahs mi ni HB, tangu nikue. Sjafankiwa kupendwa, ya nasiyaskia mapenz but sifahm lolote. Je ni muhm kusaundsha ndo nipendwa ama. Muda aado. Manake nina kira sababu za kua na duu.but najshangaa kwa nini.hebu naomben msaada wenu
 
subiri ukue kudooogo,ongeza tumiaka bwana ndio ufikirie mapenzi,btw nimeshindwa kukusoma unataka msaada wa aina gani
 
Mie n yank wa miaka 23 nahs mi ni HB, tangu nikue. Sjafankiwa kupendwa, ya nasiyaskia mapenz but sifahm lolote. Je ni muhm kusaundsha ndo nipendwa ama. Muda aado. Manake nina kira sababu za kua na duu.but najshangaa kwa nini.hebu naomben msaada wenu

Nyie watoto wa siku hizi nyie......hivi unajua hapa tupo baba zako na mama zako.....unaandika kihuni namna hii unadhani wote sisi ni rika lako?
 
Mie n yank wa miaka 23 nahs mi ni HB, tangu nikue. Sjafankiwa kupendwa, ya nasiyaskia mapenz but sifahm lolote. Je ni muhm kusaundsha ndo nipendwa ama. Muda aado. Manake nina kira sababu za kua na duu.but najshangaa kwa nini.hebu naomben msaada wenu
Tumia lugha sahihi ya Kiswahili!
Hakikisha unawasiliana na watu wote unaotaka wakupe majibu, siyo wahuni tu!
 
Mie n yank wa miaka 23 nahs mi ni HB, tangu nikue. Sjafankiwa kupendwa, ya nasiyaskia mapenz but sifahm lolote. Je ni muhm kusaundsha ndo nipendwa ama. Muda aado. Manake nina kira sababu za kua na duu.but najshangaa kwa nini.hebu naomben msaada wenu

House Boy?????
 
Hv yule kifimbo cheza w kwnye gazet la sani hayuko humu?
 
wote hapo juu mmeniwakilisha asanteni, ila naweza sema kijana BEHAVE na haraka kachukue daftari usome. Otherwise kacheze mpira umri wako bado
 
Mie n yank wa miaka 23 nahs mi ni HB, tangu nikue. Sjafankiwa kupendwa, ya nasiyaskia mapenz but sifahm lolote. Je ni muhm kusaundsha ndo nipendwa ama. Muda aado. Manake nina kira sababu za kua na duu.but najshangaa kwa nini.hebu naomben msaada wenu


Ikiisoma statement yako inaonekana kweli una tatizo but the way ulivyowakilisha ni kwa mzaha kama hauko serious, kama vile ulikua unatuma wakati unafunga tai ... Enways kama una miaka kweli 23 na ni mwanume lijali swali linakua zito mto ambalo ningependa nijue... Siwezi litoa hapa. Kutokana na ulivyojieleza hapa inaonesha wazi hata kumtongoza mwanamke huwezi, unamtongoza kana kwamba akiwa nawe atakua ni mtu mwenye bahati saana badala ya vice versa... Unazungumzia kusaundisha, but kusaundisha unatumia ukweli ukichanganya na uongo - Alafu hao maduu unaowatokea sio level yako, inawezekana unajiona HB saaana mpaka labda mabinti unaowatokea ni wale ambao wanajua mwanaume wa kweli kwa kumwangalia tu the way you carry your self, the attitude, the posture .... I can go on forever... na bahati mbaya pamoja na u HB wako woote bado huna impact... Alafu sifa yako ya kwanza eti HB, and you are 23!!! Mbona watoto wa dot com siku hizi wa miaka 14 anaweza kukutongoza mpaka unasikitika kwamba ni mdogo hakufai but anajua analoongea....
 
Mie n yank wa miaka 23 nahs mi ni HB, tangu nikue. Sjafankiwa kupendwa, ya nasiyaskia mapenz but sifahm lolote. Je ni muhm kusaundsha ndo nipendwa ama. Muda aado. Manake nina kira sababu za kua na duu.but najshangaa kwa nini.hebu naomben msaada wenu

Swala sio age wala u-HB, tatizo hujitambui. Jaribu kuwa real, wasilisha muonekano wako halisi usilete usharobaro ukafata vitu next level utaishia kunawa.....!! Kama hiyo ndo lugha unayoitumia hata kwa hao maduu, mbona shughuli!
 
Miaka 23 wenzako wengine wanakuwa washaoa na watoto wanao, embu changamka bana we ukoje?
 
We kijana nawewe usikute bado hujabalehe, soma shule mapenzi utayakuta tu
 
Back
Top Bottom