Junior Lecturer
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 904
- 526
Habari wana jamvi. Hello mr right ni kakipindi fulani kanako endeshwa pale kenya na RAMBO TV, kakizaminiwa na startimes.
Kipindi chao kina husisha single boys &single ladies. Nimeshindwa kuelewa maudhui ya ke, je nisuruhisho kwa madomo zege ama la? Mbona hakuna mresho wa wale wanao patana mr &mrs right. Mahost wa kipindi hiki ni DR. IFUKWENYE, SIDIKA VERA NA KAPYENGA.
Najiuliza wale madada wanao jitokeza kutafuta single man siyo malaya walio kubuhu kweli! Wanatumia vigezo gani kuwasajili wale mabinti? Unadhani hiyo kitu ni njia sahihi ya kumpata mume au mke sahihi wa kuishi nae? Binafsi naona haiko pouwa. Mdau unaonaje?
Kipindi chao kina husisha single boys &single ladies. Nimeshindwa kuelewa maudhui ya ke, je nisuruhisho kwa madomo zege ama la? Mbona hakuna mresho wa wale wanao patana mr &mrs right. Mahost wa kipindi hiki ni DR. IFUKWENYE, SIDIKA VERA NA KAPYENGA.
Najiuliza wale madada wanao jitokeza kutafuta single man siyo malaya walio kubuhu kweli! Wanatumia vigezo gani kuwasajili wale mabinti? Unadhani hiyo kitu ni njia sahihi ya kumpata mume au mke sahihi wa kuishi nae? Binafsi naona haiko pouwa. Mdau unaonaje?