Hello memberz

Karibu JamiiForums.com (A Welcome Note)

Tunafurahi umetutembelea. Ni faraja endapo utakuwa mwanachama wa jukwaa letu. Heshimu uliowakuta kwenye jukwaa hili. Tunawaheshimu wanachama wetu na kuwapa thamani sawa.

Tunatoa UHURU WA KUONGEA. Kama mada inakukuna au kukugusa kwa kiwango ambacho unaona lazima utoe majibu jisajili na kutoa ufafanuzi yakinifu.

Ieleweke kuwa, yaandikwayo hapa ni mawazo ya wateja/wanachama wetu na si msimamo wa uongozi ama waanzilishi wa JamiiForums.com ama vinginevyo. Lugha za matusi hazitavumiliwa!

Tutashukuru pale ukiona jambo baya ukatufahamisha tulifanyie marekebisho haraka kabla hujakashifu au kutoa lawama. Sisi ni binadamu na tuna mapungufu yetu.

Tuandikie: support@jamiiforums.com utakapokumbana na tatizo lolote nasi tutakujibu haraka iwezekanavyo ndani ya dakika 60.

JamiiForums Administration​


 
Karibu sana twitter, ndugu yako feis buku yeye ni mwenyeji tayari. Subiri akuletee kinywaji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom