hello JF

hello JF

i pad3

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2012
Posts
1,518
Reaction score
378
Im new i pad3 .dont touch me utanichafua
..i am a boy. hi wadada wote hapa jamii naomba mnikaribishe niwe mmoja wa jamii yetu
 
Karibu sana i pad3, hakikasha umemaliza home work yako ulopewa jana shuleni...


Subiri Erickb52 kaenda kukununulia Fanta orange!
 
Karibu sana i pad3, hakikasha umemaliza home work yako ulopewa jana shuleni...


Subiri Erickb52 kaenda kukununulia Fanta orange!
Waoooo!! thats interesting even, itakuwa burudani sana kama mkinikaribisha kwa Fanta(obey your thirsty-tii kiu yako) .
 
Nenda kule mmu kuna akina dada kibao!
 
Karibu jf kijana! Tembelea mitaa ya jukwaa la siasa, mmu na chit chat. Mitaa mingine utaijua mwenyewe! Ukifika mmu na chit chat utaonana na kongosho, huyu hajulikani kama ni she au he, coz wakati mwingine huongea kama she na wakati mwingine huongea kama he, kazi ni kwako!
 
Karibu jf kijana! Tembelea mitaa ya jukwaa la siasa, mmu na chit chat. Mitaa mingine utaijua mwenyewe! Ukifika mmu na chit chat utaonana na kongosho, huyu hajulikani kama ni she au he, coz wakati mwingine huongea kama she na wakati mwingine huongea kama he, kazi ni kwako!
ngoja nikamcheki...nitaruhusiwa kumchungulia?
 
kweli? embu nipe majian mawili matatu ili nikingia kule nijue pa kuanzia? kwema lakini kijana?

hahahaah!! We nenda tu, wapo wa kumwaga hadi nashindwa kukutajia wa kuanza nao. Hapa kwema kabisa sijui wewe!
 
Back
Top Bottom