Wana JF, Aslaam aleikum/Tumsifu Yesu kristu!!
Kwa mara ya kwanza naingia humu mjengoni kwa Great Thinkers, Naombeni mnipokee tushirikiane kwa pamoja, tuelimishana, kutofautiana na kupingana bila kugombana. Hatimaye tujenge Taifa letu kwa manufaa ya sasa na vizazi vijavyo!
Nawasilisha!!!
Mpambanaji wenu!
Kwa mara ya kwanza naingia humu mjengoni kwa Great Thinkers, Naombeni mnipokee tushirikiane kwa pamoja, tuelimishana, kutofautiana na kupingana bila kugombana. Hatimaye tujenge Taifa letu kwa manufaa ya sasa na vizazi vijavyo!
Nawasilisha!!!
Mpambanaji wenu!