Ishaka
Member
- Nov 1, 2011
- 74
- 12
oa Wapendwa wana Jamii, wakubwa shikamoni, wadogo mambo vipi? Nawapenda kisha nawafagilia wawaaaaaaaaa! Yes you deserve it men! kumbe mambo matamu yapo huku?! Naomba mnipokee ili tuweze kushirikiana katika kuboresha huduma hii mtambuka ili iweze kwenda na wakati zaidi maana nimegundua ni chemchemi ya mambo mengi muhimu kwetu na kwa wakati muafaka.
U be blessed I love you all. Cheers
U be blessed I love you all. Cheers