Adverse Effect
JF-Expert Member
- Oct 8, 2017
- 3,518
- 8,967
Ngoja nikufundishe ku-quote, angalia ujumbe unaokusudia kuujibu chini mkono wako wa kulia utaona neno (reply) bofya hapo utaona inakuletea uwanja kuandika ujumbe wako. Sawasawa binti yangu?
Hivi
Ukitaka kufanya nukuu ya ujumbe fulaniHapa kwenye neno quote kuna nini?
Asante lamomyπ karibu naitwa Lamomy, muungwana wowote akikutongoza pm ni add nikusaidie kufatilia mazungumzo yenu wasije kukudanganya..!!
Mimi nipo kitengo cha kudhibiti majambazi wa mapenzi okay?
Nakuona nakuona unataka kujipa assist kiongozi..!! πΉNdiyo, clap for yourself now
Mweeeπ€£π€£π€£Ngoja nikufundishe ku-quote, angalia ujumbe unaokusudia kuujibu chini mkono wako wa kulia utaona neno (reply) bofya hapo utaona inakuletea uwanja kuandika ujumbe wako. Sawasawa binti yangu?
Fanya nioneUkitaka kufanya nukuu ya ujumbe fulani
Ni binti yangu huyu mkuu, msimtongoze tu bado mdogo sana πUkumbuke ukarimu wa Jabari XVI siku moja umzawadie akija huko vikindu.
Unapambana kiongozi πΉπΉNgoja nikufundishe ku-quote, angalia ujumbe unaokusudia kuujibu chini mkono wako wa kulia utaona neno (reply) bofya hapo utaona inakuletea uwanja kuandika ujumbe wako. Sawasawa binti yangu?
Ni mwema sana nilikuwa sielewi ujueUkumbuke ukarimu wa Jabari XVI siku moja umzawadie akija huko vikindu.
Mkuu nipe kitengo kwa Binti yako nimfundishe matumizi ya pm πNi binti yangu huyu mkuu, msimtongoze tu bado mdogo sana π
Hapana hapana mkuu mimi ni sawa na baba yakeNakuona nakuona unataka kujipa assist kiongozi..!! πΉ
Prime meridian
Mambo AsuHkL umeolewa?Girl
Ni private message yaani unachart na member uliowachagua au kuwahitaji bila mazungumzo yenu kuwekwa public unataka tujaribu auPrime meridian
Kwamba najipakulia minyama.? Hapana siko hivyo mkuu ni kwa wema tuUnapambana kiongozi πΉπΉ
Anza wwNi private message yaani unachart na member uliowachagua au kuwahitaji bila mazungumzo yenu kuwekwa public unataka tujaribu au
Go ahead kijana wangu πMkuu nipe kitengo kwa Binti yako nimfundishe matumizi ya pm π
πππ eee mkuu, jeiefu ni lidude likubwa, mambo ni mengi mno.Kwamba achunguze kama ni Dr au πππ
πππ mkuu mbona kama unataka kujiokotea.
Niliolewa ila mume wangu sijui hata yuko wapi alikuwa ni konda wa magari ya nje alienda hajarudi ni stori ndefu sana ameniacha na mimba yani nawaza na kuwazua ndugu yanguMambo AsuHkL umeolewa?