wana jf wanapa pole wote ambao hawajapata mkopo,ikiwa mi mwenyew pia ni muanga wa janga hili,lakini nawasihi kwamba wafanye dili zingine mtaani wakivuta subira ya kujaribu tena mwakani,labda bodi itatufikilia...inauma sana lakini..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.