Carlos Valderrama
JF-Expert Member
- Dec 27, 2014
- 664
- 240
Mamlaka ya Anga wana habari za hii ajali toka saa 12 jioni lakini hawajafanya juhudi zozote mpaka saa 7 usiku.
ZKK hadi kufa kwake atakuwa speculator anayekosea kidogo kila mara.....NI WALE WANAOTABIRI MNYAMA MWENYE MKIWA KUWA DUME BAADA YA KUONA MKIA...Kweli kbsa zito, kigwa, January wote vi domodomo tu hawajui wanalosema
Mamlaka ya Anga wana habari za hii ajali toka saa 12 jioni lakini hawajafanya juhudi zozote mpaka saa 7 usiku.
Umeona eeeeh?
Kwanini nani kakuambia ni wa ajabu.....?mimi nimeuliza kistaarabu tuu wewe kwa ukafiri ukarukia kwa kujishtukia..CCM si waliapa kutumia magari kuthibitisha barabara walizojenga...?huyu jamaa si alikuwa na maigizo jimboni...?sasa chopa ya nini kwenda kwao?Maswali mepesi sana ,ila yanaweza kuwa magumu na mengi km una ubongo kidogo wa kufikiri..Acha upuuzi wewe na ushamba Chopa ni usafiri wa kawaida tu.
Sasa kumkubali wewe kunamhalalisha vipi ..ktk fikra na vipimo vya wengine?Mbona wabongo mna misemo inayoharibu akili zenu.wewe shukuru kwa binadmu kupona...upuuzi mwingine achana nao....mtaatumainia binadamu hadi lini wakati hamuwajui....zaidi ya kulishwa na media na matukio kadhaa...?Ashukuliwe Mola kwakuwa wapo salama, namkubali sana deo.
wafanje nini?Kwani kuna rescue bregade mmeicha na uhai...?hata angeanguka baharini si mgesubiri msaada wa south Africa kuja wasaidia..ila majukwaani mtajidai kwamba Majeshi yetu idaza zote yapo fiti sana na ni ya kujivunia duniani..Mamlaka ya Anga wana habari za hii ajali toka saa 12 jioni lakini hawajafanya juhudi zozote mpaka saa 7 usiku.
Rescue mission on the way
Kwanini nani kakuambia ni wa ajabu.....?mimi nimeuliza kistaarabu tuu wewe kwa ukafiri ukarukia kwa kujishtukia..CCM si waliapa kutumia magari kuthibitisha barabara walizojenga...?huyu jamaa si alikuwa na maigizo jimboni...?sasa chopa ya nini kwenda kwao?Maswali mepesi sana ,ila yanaweza kuwa magumu na mengi km una ubongo kidogo wa kufikiri..
Huyu nyalandu naye kumbe kilaza tu kama ccm wengine ... eti area of selous (55,000 sq. km) is as big as the area of belgium (sq. km. 30,000)!
Watz huwa wana tabia ya kurudia wanachosema wazungu ...pengine mzungu alisema karibu mara mbili Nyalandu kwa haraka hakuwa ameshika vyema data ..Huyu nyalandu naye kumbe kilaza tu kama ccm wengine ... eti area of selous (55,000 sq. km) is as big as the area of belgium (sq. km. 30,000)!