VICTOR Y MAGANGA
JF-Expert Member
- May 15, 2015
- 249
- 122
Double standard...ndo utajua mlengo wao
Kunyamaza kwake kunaongea sanaJana askari wanne wameuwawa na majambazi dar, wakati wakikabidhiana lindo.
Nyinyi kama watetezi wa haki za binadamu mbona mko kimya?
Hakuna tamko la kulaani mauaji hayo.
Lakini cha kushangaza Chadema wangeguswa na hili ningewaona povu linawatoka na matamko mbali mbali ya kulaani.
Iko haja ya nyinyi Kua kuachia nafasi zenu kwa Kua bias.
Hili linatokana Nanyi kuacha taaluma yenu na kujiingiza kwenye siasa.
Achieni ngazi imetosha.
Jana askari wanne wameuwawa na majambazi dar, wakati wakikabidhiana lindo.
Nyinyi kama watetezi wa haki za binadamu mbona mko kimya?
Hakuna tamko la kulaani mauaji hayo.
Lakini cha kushangaza Chadema wangeguswa na hili ningewaona povu linawatoka na matamko mbali mbali ya kulaani.
Iko haja ya nyinyi Kua kuachia nafasi zenu kwa Kua bias.
Hili linatokana Nanyi kuacha taaluma yenu na kujiingiza kwenye siasa.
Achieni ngazi imetosha.
Kituo cha Sheria na Hqki za Binadamu kimeanzishwa mwaka 1995. Mauaji ya Mwembechai yalikuwa mwaka gani?Hata yale ya Waislam wa Muembechai walikaa kimyaa..
Ingia hapa www.humanrights.or.tz halafu ingia kwenye Reports. Kuna report na matamko yote yanayotolewa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu jueleza hali ya haki za binadamu nchini katika vipindi husika.Huyu bibi ni mzandiki sana mkuu. Achilia mbali mauaji ya polisi......kuna mauaji ya vikongwe...ubakaji wa watoto wadogo. Sijawahi kumsikia hata siku moja akitoa tamko kuhusu hayo mambo katika jamii yetu. Angejiunga na chama cha siasa tu ieleweke moja.
Wapo bize wanaandaa nondo za kuisulubu sdrikali baada ya sept 01Jana askari wanne wameuwawa na majambazi dar, wakati wakikabidhiana lindo.
Nyinyi kama watetezi wa haki za binadamu mbona mko kimya?
Hakuna tamko la kulaani mauaji hayo.
Lakini cha kushangaza Chadema wangeguswa na hili ningewaona povu linawatoka na matamko mbali mbali ya kulaani.
Iko haja ya nyinyi Kua kuachia nafasi zenu kwa Kua bias.
Hili linatokana Nanyi kuacha taaluma yenu na kujiingiza kwenye siasa.
Achieni ngazi imetosha.
Kituo cha Sheria na Hqki za Binadamu kimeanzishwa mwaka 1995. Mauaji ya Mwembechai yalikuwa mwaka gani?
Mjomba Misifa,Ingia hapa www.humanrights.or.tz halafu ingia kwenye Reports. Kuna report na matamko yote yanayotolewa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu jueleza hali ya haki za binadamu nchini katika vipindi husika.
SahihiWanasubiria ukuta uvunjwe ndio inawahusu
Hawa jamaa ni chama cha siasaIngia hapa www.humanrights.or.tz halafu ingia kwenye Reports. Kuna report na matamko yote yanayotolewa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu jueleza hali ya haki za binadamu nchini katika vipindi husika.
Hawa jamaa janja janja sanaAtakuwa busy anaanda camera na ripoti za kwenda kuombea misaada baada ya manyumbu kuvunjwa miguuu
Kwa maana hiyo kilianza kazi na matukio ya mwaka huo?Kituo cha Sheria na Hqki za Binadamu kimeanzishwa mwaka 1995. Mauaji ya Mwembechai yalikuwa mwaka gani?
Kulaani tukio, mnduku weweMtetezi wa haki za binadamu aje kufanya nn kwa hili.. Ebu fumba macho, kwa hisia, ukitamka hilo neno ukitafuta maana ya neno "Mtetezi wa haki za binadamu".. Rudia mara tatu,. Labda mwalimu wako hukumuelewa darasani. Hapa Kijo aje kumtetea nani aliyekosa haki za msingi ktk nchi yake, ni askari polisi au wale wananchi wanaoendelea kuuwawa kule kagera kwa kukosa ulinzi nchini mwao na serikali imeshindwa kulipa uzito jambo hili.?
We ndo mngese, kulaani tu ndo umuhitaji Kijo aje kulaani, wakati mpaka sasa hujasikia uchwara akilaani... We kinyeo nn.Kulaani tukio, mnduku wewe
Kuweka kwenye mitandao ni sehemu tu ya usambazaji wa report na matamko. Report zote zinasambazwa kwa wadau wote kwa njia nyingine mbalimbali. Zinatolewa bure jwa yeyote anayehitaji. Matamko yote, ambayo ni kwa vyombo vya habari yanatolewa mbele ya vyombo vya habari. Kama umeangalia na kusikiliza taarifa za habari leo naamini utakuwa umeona kuwa Kituo kimetoa tamko kukemea mauaji yaliyofanywa dhidi ya polisi. Kituo kina vipindi vya TV na Radio. ITV Kipimajoto kila mwisho wa mwezi, na Channel 10 Kipindi cha Pambanu kila Alhamisi. Vyote hivi vina lengo la kuelimisha umma kwa ujumla, Serikali na wananchi juu ya kuzingatia misingi ya haki za binadamu. Hii ni mbali na vipindi vingine vingi vya redio ambapo Kituo kinaalikwa kuelezea kuhusu masuala ya haki za binadamu, bila kubagua ni binadamu gani haswa anayetajwa. Kama una nafasi fika ofisi zao Makao Makuu Kijitonyama, Kituo cha Msaada wa Sheria Kinondoni na Ofisi Ndogo Arusha kujua hasa kazi za Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu. Inachekesha kudhihaki umuhimu wa mtandao wakati na anayedhihaki anafanya hivyo akiwa mtandaoni.Mjomba Misifa,
Naomba unisikilize kwa umakini ili uweze kunielewa. Hizo report na matamko wakiweka kwenye huo mtandao ni watanzania wangapi wana access na Internet achilia mbali uelewa wa kuperuzi mitandao!!!!????? Msipende kutetea upupu kwa kutumia hoja dhaifu.