Leo Lee Member Joined Oct 14, 2020 Posts 49 Reaction score 52 Aug 14, 2023 #1 Samahani ndugu napenda hvi kazi ya hela ya kujikimu ni ipi hasa? Maana haitolewi kwa wakati
M Muscovy JF-Expert Member Joined May 19, 2019 Posts 791 Reaction score 921 Aug 14, 2023 #2 Leo Lee said: Samahani ndugu napenda hvi kazi ya hela ya kujikimu ni ipi hasa? Maana haitolewi kwa wakati Click to expand... Vumulia mkuu mtapewa
Leo Lee said: Samahani ndugu napenda hvi kazi ya hela ya kujikimu ni ipi hasa? Maana haitolewi kwa wakati Click to expand... Vumulia mkuu mtapewa
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 31,139 Reaction score 88,801 Aug 14, 2023 #3 Wanaamua tu ofisi husika. Hela ya kifala sana ile.
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 42,392 Reaction score 104,788 Aug 14, 2023 #4 Zamani tulikua tunapawa mfuko wa unga, chumvi, tunapewa vyungu kwaajili ya mupikia kisha tunaambiwa kuni tutazikuta hukohuko. Vijana skuizi mmekua nyoro nyoro alafu mnadeka sana qudadadeqi...😎
Zamani tulikua tunapawa mfuko wa unga, chumvi, tunapewa vyungu kwaajili ya mupikia kisha tunaambiwa kuni tutazikuta hukohuko. Vijana skuizi mmekua nyoro nyoro alafu mnadeka sana qudadadeqi...😎
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 42,392 Reaction score 104,788 Aug 14, 2023 #5 Mad Max said: Wanaamua tu ofisi husika. Hela ya kifala sana ile. Click to expand... Tumejikopa kwanza ili tutatue matatizo ya familia zetu...
Mad Max said: Wanaamua tu ofisi husika. Hela ya kifala sana ile. Click to expand... Tumejikopa kwanza ili tutatue matatizo ya familia zetu...
M Mzee Wa Jambo Member Joined Aug 28, 2023 Posts 45 Reaction score 63 Aug 28, 2023 #6 Kuna Baadhi Ya Taasisi Wanapewa Mapema tu na Taasisi Zingine Bado Sana wanasubiri michakato ikae sawa Hopefully watazitoa kwa baadae
Kuna Baadhi Ya Taasisi Wanapewa Mapema tu na Taasisi Zingine Bado Sana wanasubiri michakato ikae sawa Hopefully watazitoa kwa baadae