Hela tunazotoa wanaume for no reason, kumpanga mtu

hio heading yako mbona kama inajicontradict?
unasema hela tunazozitoa wanaume for no reason, hapo hapo unatoa reason ni kumpanga mtu.

halafu unasema umetoka kutuma elfu 30 for no reason, hapohapo unatuandikia kwamba huyo chick ni project in progress. huoni hio hela uliyotuma ni for the same reason uliyoiandika kwenye heading? kwamba unampanga.
 
Wanaume mjue hela haimvutii mtu kukupa unachotaka kama hajavutiwa na wewe atakula hela na kukimbiwa unakimbiwa au unapewa kiroho upande remember
Woman need reason to have sex but men just need a place to have sex
Hoja ya msingi hii pia mzee, mwambie awe anasoma majira kama anapowekeza kuna possibility ya kuvuna
 
Najifariji kivipi...mie nilishajiamulia kizika hela yangu kwenye papupichi kama vile wengi wanavyozika hela kwe. Madawa ya kulevya au pombe....kila mtu na starehe yake
🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝maamuzi sahihi kabisa🥂🥂😉😉😉
 
Back
Top Bottom