rich1
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,973
- 3,196
Kama shs ngap bosi.Inauma sana, kuna kenge mmoja kanilia vyangu afu katokomea kusikojulikana kudadeki zake nikimkamata atafurahi na roho yake.
Kama shs ngap bosi.Inauma sana, kuna kenge mmoja kanilia vyangu afu katokomea kusikojulikana kudadeki zake nikimkamata atafurahi na roho yake.
Shs ngap boss???Nimetoka kukutana na manzi lodge..nimemtumia muamala ambao nilijua ntaurudisha. Kumbe ile mtandao mmoja kwenda mwingine ni process ndefu kimtindo, mpaka watumiane email! Mpaka hivi nnavyoongea Airtel wamesema niwape muda wawasiliane na wenzao wa Tigo watanijulisha, ila huyu manzi keshatoa pesa na amenitumia msj kushukuru.
Aisee poleni sanaKuna watu tunawahonga na mbunye hawatupi wanatuita sisi maboya
Kwani utamu mnao nyie tuBaki na pesa zako na sisi tubaki na utamu wetu.tunamambo mengi ya kufanya.![]()