Uchaguzi wa Mwakyembe usingeleta VIONGOZI hawa! Note wote walioingia kwenye mchakato wa kwanza wa uchaguzi ulioongozwa na MWAKYEMBE chini ya TFF hawakuchaguliwa! Go figure!kuna threads hapa ukifufua zilikuwa zinalaumu sana tff na mwakyembe kwa kuwaambia jamaa ni lazima wafanye uchaguzi leo wanafurahia.maajabu haya
aisee jangwani you really need to grow up acheni utoto kwa kweli,kha siyo kwamba mlikuwa mnasubiri manji arudi kama alivyosema mkuchika?Uchaguzi wa Mwakyembe usingeleta VIONGOZI hawa! Note wote walioingia kwenye mchakato wa kwanza wa uchaguzi ulioongozwa na MWAKYEMBE chini ya TFF hawakuchaguliwa! Go figure!
Yanga ilichokuwa inapinga ni kufanyika uchaguzi mdogo wa kujaza nafasi ya Manji kabla ya muda wa uongozi haujaishakuna threads hapa ukifufua zilikuwa zinalaumu sana tff na mwakyembe kwa kuwaambia jamaa ni lazima wafanye uchaguzi leo wanafurahia.maajabu haya
Kwenye Hilo bango lako wachezaji wapya ni 7, wazamani 4 unategemea ufanye vizuri Kwa timu hii msimu ujao?? Unaumwa wewe, ¾ ni wapya usitegemee chochote! Atleast 2 to 3 years ndio utegemee ubora kwenye hii timu.Kwa wafuatiliaji wa huu mchezo wetu pendwa wa soka, watakubaliana na Mimi kuwa tangu yanga wapate uongozi mpya kumekuwa na utulivu wa Hali ya juu huku utekelezaji kwa vitendo kwa Yale waliyo yaahidi ukionekana.
Nafikiri msimu ujao wapinzani wajiandae kisaikolojia maana pamoja na Hali mbaya kiuchumi na bila uongozi madhubuti msimu ulio pita still walionesha ushindani na nusu wachukue ubingwa.
Heko kwa mheshimiwa Sana! chifu! Papaa Mwinyi Zahera 'mukubwa kabisaa'View attachment 1120276
Simba mwaka huu wamechukua ubingwa wakiwa na wapya wangapi?Kwenye Hilo bango lako wachezaji wapya ni 7, wazamani 4 unategemea ufanye vizuri Kwa timu hii msimu ujao?? Unaumwa wewe, ¾ ni wapya usitegemee chochote! Atleast 2 to 3 years ndio utegemee ubora kwenye hii timu.
Tulia mzee baba huo ni mwanzo tu, time will tell! Hiyo ni sehemu tu ya kikosi kaziKwenye Hilo bango lako wachezaji wapya ni 7, wazamani 4 unategemea ufanye vizuri Kwa timu hii msimu ujao?? Unaumwa wewe, ¾ ni wapya usitegemee chochote! Atleast 2 to 3 years ndio utegemee ubora kwenye hii timu.
Na pesa makaratasimpira pesa
jiangalieni sana , kuwa na viongozi wenye matumbo makubwa hakujawahi kusaidia timuNa pesa makaratasi