prof Mose
Member
- May 10, 2019
- 37
- 28
Kwa wafuatiliaji wa huu mchezo wetu pendwa wa soka, watakubaliana na Mimi kuwa tangu yanga wapate uongozi mpya kumekuwa na utulivu wa Hali ya juu huku utekelezaji kwa vitendo kwa Yale waliyo yaahidi ukionekana.
Nafikiri msimu ujao wapinzani wajiandae kisaikolojia maana pamoja na Hali mbaya kiuchumi na bila uongozi madhubuti msimu ulio pita still walionesha ushindani na nusu wachukue ubingwa.
Heko kwa mheshimiwa Sana! chifu! Papaa Mwinyi Zahera 'mukubwa kabisaa'
Nafikiri msimu ujao wapinzani wajiandae kisaikolojia maana pamoja na Hali mbaya kiuchumi na bila uongozi madhubuti msimu ulio pita still walionesha ushindani na nusu wachukue ubingwa.
Heko kwa mheshimiwa Sana! chifu! Papaa Mwinyi Zahera 'mukubwa kabisaa'