Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 3,281
- 2,423
Hili alina ubishi kuwa mkoa wa Kagera unastaili pongezi kwa kutoa viongozi wa ngazi za juu serikali.Katika serikali ya hawamu ya nne mkoa umetoa mawaziri shupavu wawili wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi Tibaijuka na Maliasili na Utalii Kagasheki.
Heko wanakagera tunaweza kulifanyia vyema taifa letu la Tanzania.
Heko wanakagera tunaweza kulifanyia vyema taifa letu la Tanzania.