Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Hongera kwa kusimamia uwekwaji wa viashiria vya daraja pale Darajani, Old Bagamoyo Road karibu na MayFair Plaza.
Hili ni moja ya mambo yenye yaliangaziwa na wananchi wa Mikocheni kwenye mkutano wao na mbunge na diwani.
Sijui kama barabara ile inasimamiwa na TANROADS au halmashauri, lakini najua wamehusika katika utekelezwaji. Sasa daraja limewekewa reflectors za nguzo katika kona zote nne na zinaonekana tangu umbali wa mita 200.
Kipindi cha nyuma daraja halikuwa na kingo wala viashiria, hivyo kupelekea ajali nyingi hasa wakati wa mvua kubwa, ukizingatia daraja lenyewe ni jembamba.
Hongera wahusika!
Hili ni moja ya mambo yenye yaliangaziwa na wananchi wa Mikocheni kwenye mkutano wao na mbunge na diwani.
Sijui kama barabara ile inasimamiwa na TANROADS au halmashauri, lakini najua wamehusika katika utekelezwaji. Sasa daraja limewekewa reflectors za nguzo katika kona zote nne na zinaonekana tangu umbali wa mita 200.
Kipindi cha nyuma daraja halikuwa na kingo wala viashiria, hivyo kupelekea ajali nyingi hasa wakati wa mvua kubwa, ukizingatia daraja lenyewe ni jembamba.
Hongera wahusika!