Kumradhi ashakum si matusi, Kwakweli ninapoisikiaga sauti yake nilijua ni dada mzuri sana nilipomuona kwa mara ya kwanza kupitia tv sikuamini kama ndo yeye, fikra zangu zilijenga picha ya mwanamke mrembo balaa
! kumbe sivyo.
Ni kawaida kwa watz kutumia neno lolote na sifa yoyote ili tu kutoa sifa kwa mhusika bila kuzingatia maana na maudhui ya maneno hayo.
Maneno kama
1. jamaa ''intelligent'' sana
2, jamaa ana ''kipaji''
3. huyu ni ''chaguo la Mungu''
Ni kawaida kwa watz kutumia neno lolote na sifa yoyote ili tu kutoa sifa kwa mhusika bila kuzingatia maana na maudhui ya maneno hayo.
Maneno kama
1. jamaa ''intelligent'' sana
2, jamaa ana ''kipaji''
3. huyu ni ''chaguo la Mungu''