Hlf wala c jumba la ajabu, ndio nzuri lkn c kuishabikia, me nina mkwe wangu mdogo wamenunua hzi nyumba 6, c ziko nyuma ya myfare plaza, so me naona za kawaida, hata m2 waweza jenga
eti hekalu!!:heh: we unaonekana haujui kiswahili, haka kakiitwa hekalu na pale ikulu tupaiteje, kajumba kenyewe kamekaa bila mpangilio utadhani nyumba za manzese.
Jamani, mshahara wa voda unaweza kununua nyumba ya usd.600,000/-?
kama ni hivyo, mbona mimi mtumiaji wa simu nazidi kuwa fukara?
Ngoja nivunje hii laini, naona nawatajirisha wenzangu
eti hekalu!!:heh: we unaonekana haujui kiswahili, haka kakiitwa hekalu na pale ikulu tupaiteje, kajumba kenyewe kamekaa bila mpangilio utadhani nyumba za manzese.
eti hekalu!!:heh: we unaonekana haujui kiswahili, haka kakiitwa hekalu na pale ikulu tupaiteje, kajumba kenyewe kamekaa bila mpangilio utadhani nyumba za manzese.