Hekalu la Gaddafi labomolewa na mabuldoza!

Hekalu la Gaddafi labomolewa na mabuldoza!

Bab al-Aziziya kwishnehi

Mimi nilitegemea utasikitika kwa jinsi walivyothibitisha maneno yangu niliyoyatoa hapo kabla kuwa ntc ni wahuni na sasa wameongeza ujinga unaoelekea kwenye upumbavu. Hivi unadhani hili ni jambo la busara wamefanya kugeuza Sirte na waafrika wakazi wake majivu na haya wafanyayo sasa?
 
Mkuu wanachofanya kina maana kubwa sana kwa wa-Libya wengi. Haswa hii ni vita ya kisaikolojia, while Gaddafi is at large, walibya wengi bado hawajaamini kuwa jamaa hatorudi tena. kuna jamaa yangu mmoja Mlibya ananiambia hiyo ndiyo symbol ya Gaddafi. Kwa Mlibya yeyote akisikia Baab Al Aziziya ni lazima awe mpole.

Hii inanikubusha issue ya Abu Gharaib ya Iraq na utawala wa Saddam
Akirudi ama wale wanaomsapoti wakishika nchi hasara si itakuwa ya walibya kwa ujumla?Bao naona ni ujinga,wachukue nchi kwanza,huu ni uharibifu usio na maana kabisa.Na ni ujinga.Hilo halitasaidia kuwafanya wale wanaomsapoti Gaddafi waache kufanya hivyo.Hao washagawanyika kikabila,na hapo kuna die hards.
 
Your reply is more than evidence that you do give a shit. Now, what type/kind/style of shit, I don't care.

Ah, sikufunzwa kubishana! i stepped out of my principles for a while. sorry for that.
 
Back
Top Bottom