PreGE2025 Heche: Serikali ya Samia Iliagiza Mayai, Nyama na Vipapatio vya Kuku kutoka Marekani kwa Dola Milioni 24.8

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Oyoooo yooooo

Atupe habari zaidi.. Maana duh!!

Kweli kabisa hili au udaku?
 
We heche naomba usimguse samia

Milion 24 ndio unaona kubwa kwa rais wetu kula kweli
 
No reform 1-0 kazi na utu dakika ya kwanza😅😅
Heche ⚽
Wasira -penalty missed
 
Sasa majinga km haya ndiyo yas Sasa majinga km haya ndiyo yashinde uchaguzi? Wazushi, waongo, wapotoshaji zaidi ya ujinga ujinga hakuna la maana la kuwaambia wananchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…