BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Kabisa Mkuu lakini tumshukuru sana Mwenyezi Mungu sana kwa kutuondolea janga kubwa sana nchini.
Mkuu..yule kichaa ametuletea matatizo sana.
Mkuu..yule kichaa ametuletea matatizo sana.
Kabisa Mkuu lakini tumshukuru sana Mwenyezi Mungu sana kwa kutuondolea janga kubwa sana nchini.
Usitetee ujinga, wewe na wabunge wako hao kafie nao hukoHuko ni kulidhalilisha Bunge la JMT,nadhani ungetumia maneno ya staha ujumbe wako ungefika pia.Mh. Rais aliwahi kusema tuwakosoe kwa heshima na siyo kuwatukana.
Hao ni watu wanaokusanyika na kugawana kodi zetu kwa manufaa ya matumbo yao na familia zao kln sio kulisaidia taifa"Wabunge waliochaguliwa na wananchi hawawezi kukaa kwenye bunge linalowaongezea wananachi gharama kila siku. Wabunge wa wananchi siku zote wanajitahidi kuibana serikali ipunguze gharama za maisha kwa wananchi. Ongezeko la bei ya mafuta na miamala inatokana na wabunge wa serikali.
Unamtumia mama yako pesa kijijini wanakata tozo, mama ambae hana kazi anakwenda kutoa pesa ili anunue sababu nae wanamkata tozo.
Hili ndio bunge ambalo zaidi ya nusu ya wabunge wake hawakuchaguliwa na wananchi, bunge linalopunguza bei ya bia na kuongeza bei ya mafuta." - Mh John Heche
Angalia Hayo maombi sije yakagonga paa yakakurudia ww-Hapa kuna pigo tena subirini, Mungu hadhihakiwi apandacho mtu ndicho atakachovuna