jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,833
- 7,597
Kina Zungu, Nchemba and co. Absolutely useless hawa..."Wabunge waliochaguliwa na wananchi hawawezi kukaa kwenye bunge linalowaongezea wananachi gharama kila siku. Wabunge wa wananchi siku zote wanajitahidi kuibana serikali ipunguze gharama za maisha kwa wananchi. Ongezeko la bei ya mafuta na miamala inatokana na wabunge wa serikali" - Mh John Heche