GE2025 Heche: Lissu amewaambia niko tayari kukaa Gerezani kuliko kuachiliwa na kuondoka ndani ya nchi yangu

GE2025 Heche: Lissu amewaambia niko tayari kukaa Gerezani kuliko kuachiliwa na kuondoka ndani ya nchi yangu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,498
John Heche, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, akizungumza nje ya Ukumbi wa Mahakama Kuu ambako inaendelea kusikilizwa Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, amesema amesikia kuwa wapo watu waliomfuata Lissu na kumwambia akubali kuachiliwa huru kwa sharti la kuondoka nchini.

Soma zaidi > Lissu amepewa option ya ama kuachiwa Huru ila aondoke nchini kakataa

Hata hivyo, Heche ameeleza kuwa Lissu aliwajibu akisema yuko tayari kukaa gerezani kuliko kuachiliwa kwa masharti ya kuondoka ndani ya nchi yake.
 
Kwa wanaopinga.
1758385354933.jpg
 
We wa ufukwe achana na Lissu, vp huko ufukweni hali ikoje hapa katikati ya jiji hali siyo nzuri, nimetoa buku mfukoni nimekuta Nyerere kavua shati.
 
Tuna walinda amani wa hovyo sana. Huyu mwarabu koko angekuwa kwao hadi dakika hii. Ona sasa udalali anaofanya, anafukuza wazawa analeta waarabu wenzake.
 
Maamuzi sahihi sana kwa Mr. President. Huyo anayemshawishi ndiyo anatakiwa arudi kwenye nchi yake. Aache kunyanyasa raia wema kwenye nchi yao, kwa sababu tu ya tamaa yake ya madaraka.
 
we p
Wamuue ili nchi nzima tuingie barabaran
we naye ne ni Ganda la ndizi, sa ukisubiri hadi mtu kauwawa, kuingia kwako barabarani kutamfufua? tunachojua tarehe 29 tunaingia barabarani. tutaingia tarehe 29
 
Hata hivyo, Heche ameeleza kuwa Lissu aliwajibu akisema yuko tayari kukaa gerezani kuliko kuachiliwa kwa masharti ya kuondoka ndani ya nchi yake.
 
Hata hivyo, Heche ameeleza kuwa Lissu aliwajibu akisema yuko tayari kukaa gerezani kuliko kuachiliwa kwa masharti ya kuondoka ndani ya nchi yake.
 
Back
Top Bottom