PostGE2025 Heche: Hatua za haraka zichukuliwe kuliepusha taifa na matatizo, walioua na walioagiza watu kupigwa risasi wachukuliwe hatua

PostGE2025 Heche: Hatua za haraka zichukuliwe kuliepusha taifa na matatizo, walioua na walioagiza watu kupigwa risasi wachukuliwe hatua

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

ChekoFagia

Senior Member
Joined
Sep 20, 2025
Posts
115
Reaction score
339
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche ameitaka serikali kuchukua hatua za haraka ili kuepusha nchi kuingia kwenye matatizo makubwa yanayoweza kuathiri amani na usalama wa wananchi.

Heche alisema kuwa hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya waliouwa watu na wale waliyoagiza kupigwa risasi, huku akisisitiza pia kuondolewa kwa kesi za kisiasa zinazochochea migogoro.

“Hakuna taifa la nje limechochea, nyie ndio mmechochea hayo,” alisema Heche, akisisitiza kuwa hatua hizo ni muhimu kuhakikisha haki inatendeka na wananchi wanakuwa salama.

Aidha, Heche aliongeza kuwa serikali inapaswa kuhakikisha kesi za kisiasa ziondolewe haraka na wahusika wa ukiukaji wa sheria wachukuliwe hatua bila kuchelewesha, ili kudumisha amani na utulivu wa nchi.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche ameitaka serikali kuchukua hatua za haraka ili kuepusha nchi kuingia kwenye matatizo makubwa yanayoweza kuathiri amani na usalama wa wananchi.

Heche alisema kuwa hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya waliouwa watu na wale waliyoagiza kupigwa risasi, huku akisisitiza pia kuondolewa kwa kesi za kisiasa zinazochochea migogoro.

“Hakuna taifa la nje limechochea, nyie ndio mmechochea hayo,” alisema Heche, akisisitiza kuwa hatua hizo ni muhimu kuhakikisha haki inatendeka na wananchi wanakuwa salama.

Aidha, Heche aliongeza kuwa serikali inapaswa kuhakikisha kesi za kisiasa ziondolewe haraka na wahusika wa ukiukaji wa sheria wachukuliwe hatua bila kuchelewesha, ili kudumisha amani na utulivu wa nchi.
1.Uchaguzi urudiwe
2.Hatutaki Muungano uvujwe
3.Tume huru ya uchaguzi
4.Katiba mpya
5.SAMIA atumtaki
 
Tanzania ni moja ya nchi zinazoongoza duniani kwa kuwa na vyanzo vingi vya maji ila serikali za CCM kwa miaka 60 zimeshindwa mpaka leo kuwafikishia wananchi maji safi na salama. Au na hilo "wazungu" wanatuonea gere?

Tumekuwa tunachimba madini ikiwemo dhahabu, almasi, tanzanite, nk kwa miaka bila kumfaidisha Mtanzania wa kawaida, leo ndiyo "wazungu" watuonee gere wakati wamekuwa wanawauzia hao hao "wazungu"? Kwani hiyo gesi na uranium wanategemea kumuuzia nani?
 
YEYE NA HAO TEC WANAOMTUMA LAZIMA WATAJUA HAWAJUI...BANDARI KUKABIDHIWA DP WORLD KWA TEC NA WASHIRIKA WAKE IMEKUWA MWIBA MCHUNGU...NA HAO WALISEMA WATAHAKIKISHA UCHAGUZI HAUFANYIKI KWA KUHAMASISHA FUJO NA VURUGU..
 
YEYE NA HAO TEC WANAOMTUMA LAZIMA WATAJUA HAWAJUI...BANDARI KUKABIDHIWA DP WORLD KWA TEC NA WASHIRIKA WAKE IMEKUWA MWIBA MCHUNGU...NA HAO WALISEMA WATAHAKIKISHA UCHAGUZI HAUFANYIKI KWA KUHAMASISHA FUJO NA VURUGU..NA WAO CHADEMA
 
Na chadema nchi hii hakuna fala wa kuwapa nchi nyinyi...hizo ndoto mnazoota ni za alinacha
 
Walivyofungia CDM wakajua mchezo umeisha, Mo29 wakajambisha vilivyo. Sasa ukurasa mpya, kuna mawe yanaongea
Acha uongo Chadema ilifungiwa wap?

Chadema walijitoa kushiriki uchaguzi wenyewe mpaka katiba ibadilishwe pia tume huru,walichotakiwa kufanya ni kuwa na subra mpaka waone mazingira sahihi lakini wakaamuua kuwanyesha sumu vijana wafanye vurugu Leo hii wanalia na matokeo ya vurugu na sio Chanzo.
 
N

Nchi sio Mali ya magaidi. Nchi inautaratibu wake sio kupeana kama ambavyo mnampa duly marinda yenu
Kama vile wewe unavyowapa wale wahuni wa TEC waliogoma kuoa usije ukadhani wote ni sisi ni mafala kama wewe
 
Hivi waliochochea watu waandamane hadi wakauwawa hawana hatia?
Ajabu hawataki Chanzo Cha tatizo kijulikane.....wanarukia kwenye matokeo mauji Sio mazuri lakini hata mahakamani lazima uanzie kujua Chanzo Cha tatizo.

Maaskofu,Chadema,wanaharakati wa kulipwa,influencer,vijana baadhi wanakomalia matokea hawataki kujua Chanzo Cha yote Nini? Apo Ndipo napopata mashaka ya elimu za PhD.
 
Ajabu hawataki Chanzo Cha tatizo kijulikane.....wanarukia kwenye matokeo mauji Sio mazuri lakini hata mahakamani lazima uanzie kujua Chanzo Cha tatizo.

Maaskofu,Chadema,wanaharakati wa kulipwa,influencer,vijana baadhi wanakomalia matokea hawataki kujua Chanzo Cha yote Nini? Apo Ndipo napopata mashaka ya elimu za PhD.
Na ndiyo maana tunasema TEC na Chadema wana mkono wao kwenye zile vurugu,plus na vibaraka wao kama gwajima

Wanachoche fujo kisha wanakuja kulia kilio cha mamba baadae
 
Back
Top Bottom