PreGE2025 Heche alaani kitendo cha polisi kushambulia raia mahakamani. Aliyeonekana akishambuliwa kwenye video afunguka

PreGE2025 Heche alaani kitendo cha polisi kushambulia raia mahakamani. Aliyeonekana akishambuliwa kwenye video afunguka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483

View: https://www.youtube.com/watch?v=6Z3BEm0TZp0


Freddy Chacha Akieleza kilichowatokea baada ya kukamatwa na kupelekwa Mkuranga waliambiwa wanywe maji yaliyokuwa na sumu kwa sababu wameshindwa kumuheshimu mama aliyewaletea maji safi. Amesema pia ana ushahidi wa video jinsi walivyochkuliwa na polisi na kwenda kutupwa Mkuranga

Felix Festo Kilimi katibu muenezi BAVICHA Taifa anasema siku ya Tarehe mbili walipohudhuria kesi ya Lissu alikuja polisi na wakati anawashambulia kuwa Walikuwa wakitupiga wakisema wanapata 'credit' kwa Rais Samia wakifanya hivyo.
 
Back
Top Bottom