Hebu tuone kwenye friji lako kuna nini!

Hilo kopo lenye mistari ya kijan ni nini kipo ndani?
 
Umenikumbusha uzi mmoja ukiwahi kuletwa humu kuwa ukikuta ndizi na tango kwenye friji ya mwanamke ambae hajaolewa chonde chonde usitumie..
Hahahahah...mkuu umetisha. Ila matango wanawekaga kwenye macho namna hii...

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…