Hebu tujiulize tungekuwa hatujaendelea na shule baada ya darasa LA saba tungekuwa hatujafanikiwa kimaisha..?

ketone

JF-Expert Member
Jan 22, 2016
508
622
Kwa mtazamo wangu nahisi wengi huku tungekuwa tumeishia darasa LA saba tu kipindi nakupambana na maisha ya kitaa tungekuwa mbali sana kimaisha..wengine Leo hii wakilinfanisha elimu walio nayo na wanachomiliki au kufanya haviendani..
Kuna jamaa alijifunza ufundi carpenta wakati Mimi nipo form one Leo hii namheshimu kwa anavyomiliki..duh...
Hebu tueleze wee unaonaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea Mazingira Ambayo Ungeishi! Mazingira Yanayosapoti Upambanaji Elimu Ya Msingi Tu Unatoboa Kama Kichwa Ki Vizuri.
 
Kwa mtazamo wangu nahisi wengi huku tungekuwa tumeishia darasa LA saba tu kipindi nakupambana na maisha ya kitaa tungekuwa mbali sana kimaisha..wengine Leo hii wakilinfanisha elimu walio nayo na wanachomiliki au kufanya haviendani..
Kuna jamaa alijifunza ufundi carpenta wakati Mimi nipo form one Leo hii namheshimu kwa anavyomiliki..duh...
Hebu tueleze wee unaonaje

Sent using Jamii Forums mobile app
acha kufananisha elimu na vitu vya kijinga... Njaa ya siku 1 isikufanye uone elimu haina umuhimu
 
Shule ni nini mkuu, yule mwenzako carpenter na yeye alikwenda shule (tofautisha vyeti na elimu) pia na wewe ungeweza kupata hizo vocational training as well as kuongeza hio elimu uliyopata (maarifa) unless otherwise uliposomea waliokufundisha hawakufanya kazi zao
 
Ukifuatilia watu walioshia njiani kimasomo hawajawai kukosa kabisa vitu vyakumiliki yani kuanzia pesa, mali na vitu vya thamani wanakosa tu maarifa yakukuza na kuendeleza walivyo navyo

I'm done.
 
Kwa mtazamo wangu nahisi wengi huku tungekuwa tumeishia darasa LA saba tu kipindi nakupambana na maisha ya kitaa tungekuwa mbali sana kimaisha..wengine Leo hii wakilinfanisha elimu walio nayo na wanachomiliki au kufanya haviendani..
Kuna jamaa alijifunza ufundi carpenta wakati Mimi nipo form one Leo hii namheshimu kwa anavyomiliki..duh...
Hebu tueleze wee unaonaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushanikatisha tamaa.Kwamba unamheshimu kwa anavyomiliki si kwa jinsi alivyo au watu wake walivyo!!
Acha tamaa,kila mtu ana uataratibu wake!

IF:X=WanaUFIPA+wanamaendeleo,Y=WanaLUMUMBA.
THUS:X=MABADILIKO
Y=WACHUMIA TUMBO!!
 
Nisiwe muongo nashukuru sana sikuishia darasa la 7.. elimu haijanilipa sana lakini naona mwanga.. wadau niliosoma nao primary kuna wengine wamefanikiwa lakini wengi wamepigika tu.

In short hakuna formula ya maisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom