Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,955
- 93,932
wakubwa kwa wakubwa haiwi nzuri eeeti
We ni mdogo au mkubwa? Kama mdogo hebu nifundishe mnavyofanya...
wakubwa kwa wakubwa haiwi nzuri eeeti
red: hilo ni suala la mind set. mimi nilikuwa na marafiki wawili wa kike, niliosoma nao A-level, tukaenda wote chuo kimoja. bahati mbaya mmoja alifariki mwaka juzi (may her soul R.I.P).
blue: hekima na busara zako ndo zitakujeengeeni heshima. tabia ya kumtongoza kila anayekuwa rafiki au karibu nawe ni tabia za plaboys. utaheshima kwa easy going and cheap girls, kwa wanaojishimu utadharaulika mno. mfano, mimki sikuwahi kuwatongoza hao marafiki zangu lakini Familiya ya huyo marehemu na ya huyu aliyebaki ni ndugu zangu hadi leo na tunaheshimiana kuliko unavyodhani. rafiki yangu amechumbiwa na hunieleza mambo yao ya uchumba na mipangilio mingine ya maisha.
badilikeni enyi wazinifu!
miss chagga wewe pia ni muhusika hapa! Hebu nijuze una best friend wa kiume, ambaye hamshea naye papuchi wala mmoja wenu kuonyesha yuko interested na mkakaa kwny relation kwa muda mrefu!
Shida ya hawa madada zetu! Ukikaa nao ukacheka nao, wanakuona sawa na wewe, niliwahi sikia (kutoka hapa kijiweni) kuwa demu ukiwa naye karibu saaana anaweza akakuhadithia hadi jinsi alivomegwa vzr/vbaya na jamaa yake!
Sasa waswahili wanasema ukicheka na mbwa utaingia naye msikitini!!