Hebu tuijadili hii kampuni ya GAC

Hebu tuijadili hii kampuni ya GAC

Traxtion

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2021
Posts
5,895
Reaction score
11,788
Leo katika pitapita zangu Tiktok nimekuta advertisement ya magari ya umeme ya AION SUV kutoka GAC
Actually najua naweza kuoata information Google kama nikitaka lakini nimeona pia nije kushare na humu
Hii kampuni ofisi zao zipo wapi hapa Tanzania, I know it must be Dar but where specifically? Kuna mtu yoyote ambaye anayafahamu vizuri magari yao? Je, ni mazuri? Wameweka miundombinu ya kuchajia ya kutosha hapa Tanzania? Au at least kwa huko Dar es Salaam?
Mfano wa magari yao ni hili nimeona wanalibrand linauzwa kwa USD 54999 ambayo ni sawa na milioni 140 roughly

Pia nimeona BYD wamefungua dealership hapa Tanzania. Natamani nione haya makampuni ya Kichina yakiteka soko la Tanzania. Itakuwa ni vizuri sana
 
Leo katika pitapita zangu Tiktok nimekuta advertisement ya magari ya umeme ya AION SUV kutoka GAC
Actually najua naweza kuoata information Google kama nikitaka lakini nimeona pia nije kushare na humu
Hii kampuni ofisi zao zipo wapi hapa Tanzania, I know it must be Dar but where specifically? Kuna mtu yoyote ambaye anayafahamu vizuri magari yao? Je, ni mazuri? Wameweka miundombinu ya kuchajia ya kutosha hapa Tanzania? Au at least kwa huko Dar es Salaam?
Mfano wa magari yao ni hili nimeona wanalibrand linauzwa kwa USD 54999 ambayo ni sawa na milioni 140 roughly
View attachment 3534268
Pia nimeona BYD wamefungua dealership hapa Tanzania. Natamani nione haya makampuni ya Kichina yakiteka soko la Tanzania. Itakuwa ni vizuri sana
Wapo Nyerere road karibu na Toyota Tanzania.
 
Ndugu yangu umeme mzuri sana ila ukweli disel na petrol ni nzur zaidi nimejifunza asa kupitha vita vya uko iran na nikaja kugundua dunia bado inaitaji sana mafuta kama chanzo cha nishat ya huakika kuliko umeme sasa tuje kwenye magari ya umeme na wazalishaji wake wakubwa then tuje tuone wanaopambania mafuta( usa,china na ulaya kiujumla) hawa watu wanalilia sana mafuta tena wanaweza kukutoa uhai lakin wanatengeneza magar ya umeme na kuyauza swali je uku afrika asa bongoland gari ya umeme tu itafaa zingatia betri na vituo vyakuchajia na vipuli vyake
 
Angalau jipime kwanza kwenye haya magari yenye umeme mwingi na mafuta wenyewe mnaita highbridy sijui kama nimepatia ili utoke kwenye mafuta kidogokidogo nakwenda kwenye umeme
 
Chunguza watu wenye pikipiki za umeme apa bongo wengi hawajiamini na maranyingi baada ya miez 6 au mwaka watu hutangaza kuziuza kwa bei chee nakurud kwenye pkpk za mafuta ukiuliza watakwambia betr imekufa au kipuli flan adi kiagizwe mbaya zaidi atasehemu wanapouza betr na vipuli hakujulikan kiwepes na bei haijulikan
 
Back
Top Bottom