LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,216
WanaJF! Kifo cha huyo Gaidi haina tofauti na ile kifo (Kimvuli) ya yule Gavana (Mfu) yenye wasiwasi mpaka leo kwangu na kwa baadhi ya Ndg wengi wenye uchungu na nchi yao yenye kila sbb ya wa2 wao kutokuteseka lakini wanateswa na kikosa wanaofanana na huyu Gavana anayesadikiwa ameweka makazi kwenye nchi ya mataifa makubwa. Je? Hii ya Bin Laden haifanani na ya Balali hapa KWETU? Twendeni pamoja.