Siempre Hechos
JF-Expert Member
- Dec 9, 2016
- 1,117
- 1,327
Huyo alikua hatar.. kibaya zaid wapenda sifa huwa waongeaji mno na kujichanganya yan mtu anasahau km alishakusimulia anarudia story ile ile.. Mama angu nae ni muongeaji kwel Yan anaweza simulia kitu baada ya siku mbili anasahau km amekusimulia, anasimulia tena bas mm kila akinisimulia huwa najifanya ndyo mara ya kusikia hiyo yan nashangaa kabisa kumbe imerudiwa mara kumi huko
Pole, usije iga hiyo au Mungu akuepushe na hicho kinasaba.