Anaekunywa pombe, anaevuta sigara au bange au shisha, mchafu, mzinzi, asiemjua Mungu na aiseheshimu maadali mema, anaeropoka hovyooo
Bila kusahau mwanaume ambae ni mtoto wa mama, hata mkitofautiana kidogo anapuga simu kwao...niliwahi kuwa na boyfirend hata mkipishana kauli anampigia dada yake simu, siku ikafika nikajumlisha utoto wake, wivu wa kijinga, misimamo rigid na empty set in head nikamuachilia mbalii
Sijui atakua Wapi George....sijawahi kumuona since 2010 na hata nikimuona sitamsalimia aliniuzi sana mshenzi yule
Wanawake wanajua mengi, huyu mdada kaona boksa za sampuli nyingi, mimi mwanaume lkn silijui hili
Baby tunaweza hania pm?unazijua bhnaaaa ukute ata unayo na wewe alafu mlivo wajanja mnazivaaga home tu ila ukitaka kwenda kuona na dem unatafuta kabox kazuri ka drafti kisanga kinakujaga pale dem aje home kwako maybe afanye usafi unakuta usha jisahau kuificha
kama utakuw unauleta mwenge kulala kwangu hapo sawa
😂😂Anaekunywa pombe, anaevuta sigara au bange au shisha, mchafu, mzinzi, asiemjua Mungu na aiseheshimu maadali mema, anaeropoka hovyooo
Bila kusahau mwanaume ambae ni mtoto wa mama, hata mkitofautiana kidogo anapuga simu kwao...niliwahi kuwa na boyfirend hata mkipishana kauli anampigia dada yake simu, siku ikafika nikajumlisha utoto wake, wivu wa kijinga, misimamo rigid na empty set in head nikamuachilia mbalii
Sijui atakua Wapi George....sijawahi kumuona since 2010 na hata nikimuona sitamsalimia aliniuzi sana mshenzi yule
Shule mnafungua liniHey ladies, leo nimeona tuambiane ni mwanaume mwenye tabia gan uwezi kuwa naye kwenye mahusiano ?
Binafs siwezi kuwa na mahusiano na mwanaume anaye vaa boksa ya kitenge,mvuta sigara
Njoo kwangu bibie! Tanzania nzima, niko peke yangu ninayetumia zile nguo za ndani za miaka hiyo zinazoitwa VIP! Achana na hao watoto wanaovaa boksa za vitenge/kanga/madera/batiki!!!
Sigara pia situmii! Ila ninatumia tu ugoro kwa ajili ya kuburudisha kinywa. Karibu sana PM tuyajenge maisha kabla ya Lissu kuapishwa kuwa Rais wa 6 wa JMT.
Kama mimi sio!Boksa ya kitenge
Binafsi mwanaume anayependa attention na masifa ya kijinga siendani nae.
Hahaa kwa wewe ngoja tutaongea, naamini hatutashindwanaKama mimi sio!
Kama hapa nakuqoute tu nipate kiki...napenda makiki balaa.
Nikubali basi.
Karibu PM babyMwanaume muongeaji sana mara nyingi wanakua na gubu na mvuta sigara sitaki
Kwan saiv jimbo liko wazi tutie nia?Hivi kitambi ni tabia? Siwez date mwenye kitambi
Akili ya kitoto inakusumbua. Ukikua utagundua sifa za mwanaume bora ni zipi.Hey ladies, leo nimeona tuambiane ni mwanaume mwenye tabia gan uwezi kuwa naye kwenye mahusiano ?
Binafs siwezi kuwa na mahusiano na mwanaume anaye vaa boksa ya kitenge,mvuta sigara
Yaan hata mimi mwanaume mpenda sifa aisee sivutiwi nae hata kidogo, huwa naona ananikera tu.Boksa ya kitenge
Binafsi mwanaume anayependa attention na masifa ya kijinga siendani nae.
Wanakera mno, mtu wa hivyo hata kutoka nae unaona atakuaibisha tuYaan hata mimi mwanaume mpenda sifa aisee sivutiwi nae hata kidogo, huwa naona ananikera tu.