Huyo huyo!huoni wanafananaMaria Rosa ndio yule jamaa ana miguu imepinda kwa mbele mkuu...?
Hahah.
Sirudii tena.Dah, acha uchokozi mkuu...!
Yanga jamani, nasikia jana Azam nao wameosha runguMashabiki wa Liverpool na Yanga wakinyenyua kwapa juu.
wewe wasema.Hahahah.
Watu mna utani jmn. Mungu anakuona aisee.
Mwanamke wa Bar kila Mlevi anajipigia .Yanga jamani, nasikia jana Azam nao wameosha rungu
Usishangae mkuu! tekinolojia imeua udugu wetu.Ni kweli mkuu.
Ila siku hizi sioni hizi kitu aisee.
Sio ile ukuti ukuti wa nazi kweli??Kuna nyimbo tulikuwa tunaimba wakati tunatwanga mahindi kwenye kinu..... sizikumbuki....