carina-TI
Senior Member
- Oct 16, 2010
- 128
- 0
Hilo la kupangilia maisha nakiri ni kweli, lakini nahisi huyu mtu nimemsamehe, ingawa sitaki kumuona, wala kusikia habari zake!!!
yaani ninyi wakinamama mnashida sana.....!sisi wanaume tunaosoma katikati ya mistari tunajua kuwa:
1)-bado unampenda sana tena sana
2)-hujamsamehe!hujamsamehe kwakuwa ...(rejea point nr moja)
YUPO KWENYE DAMU YAKO HUYO MTU........!
HE DRIVES YOU CRAZY.......!you know why....?