Hebu msome Dr. Shamer hapa na ushauri kuntu

Hebu msome Dr. Shamer hapa na ushauri kuntu

Yapaswa upande uzi mpya ukisema mwanawake wengi wanajua kuoga hawajui kujiswafisha, jua tofauti ya kuoga na kujiswafisha alafu content upate kugwi kugwi haswa adadavue vizuri ili hili balaa la k kunuka lipotee
Kuna member humu anaitwa Gudume alishawahi kutupia nyuzi ambayo ilikuwa inajitosheleza kuwafunda hawa Dada zetu kuhusu suala kama hilo.
 
Yapaswa upande uzi mpya ukisema mwanawake wengi wanajua kuoga hawajui kujiswafisha, jua tofauti ya kuoga na kujiswafisha alafu content upate kugwi kugwi haswa adadavue vizuri ili hili balaa la k kunuka lipotee
 
Shamer huwa anamazungumzo mazuri, lakini mazungumzo ya kujifananisha na wanyama hapo ni tatizo. Me nlidhani hizo dakika 5-10 labda kwasababu ya foreplay kumbe kunusana utupu jamani!
Imekuwa ugoro?
 
Back
Top Bottom